Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

 ---------------------- UDHIBITI WA HASIRA  ---------------------------- Kila mtu huzidiwa na hasira unapokuwa na mshangao, maumivu, kero au kuchukizwa. Hasira ni nzuri au mbaya kulingana na jinsi unavyoitikia. Ni jibu la kawaida ikiwa tunashughulika nayo kwa njia chanya. Kuwa na hasira kila wakati kunaweza kusababisha madhara kwa afya yako, hali ya akili, na uhusiano wako. Ni Dalili Gani za Hasira Hatia Hamu ya kujitenga au kuondoka  Hamu ya kupiga kelele au kumpiga mtu Huzuni Msongo wa mawazo Wasiwasi Kuchukizwa Mabadiliko ya Kimwili Yanayosababishwa na Hasira ni Yapi? Inaweza kuwa vigumu kudhibiti hasira wakati inapofikia kilele chake, kwani husababisha kutolewa kwa adrenaline, ambayo inafanya mwili kuwa tayari kujilinda au kuondoka. Lakini kugundua ishara za hasira mapema kunaweza kukusaidia kuidhibiti vizuri zaidi. Mabadiliko ya kimwili yanayosababishwa na hasira ni: Ongezeko la mapigo ya moyo. Kukosa utulivu  Kuongezeka kwa shinikizo la damu. Kupumua kwa kasi. ...
Machapisho ya hivi karibuni

SONONA/DEPRESSION

  JE UNAJUA NINI MAANA,VISABABISHI NA DALILI ZA SONONA?  Kiukweli hili limekuwa ni tatizo kubwa sana katika jamii ndio maana tumekuwa tukishuhudia majanga makubwa sana kama watu kujiua kwa vifo vya aibu kama kujinyonga watu kushindwa kuhimili mikiki ya maisha ya kila siku. SONONA ni tatizo la afya ya akili linalojitokeza kwa hisia za huzuni, kukata tamaa, na kupoteza hamu au furaha katika shughuli za kila siku. Tatizo hili linawezaleta athari katika mawazo, hisia, tabia, na ustawi kwa ujumla. Hapa kuna maelezo kuhusu chanzo na dalili. Chanzo cha SONONA: ๐Ÿ‘‰ Sababu za Kibaolojia: Kutokuwa sawa kwa kemikali za ubongo (neurotransmita) kama vile serotonini, norepinephrine, na dopamine kunaweza kuchangia sonona.lakni pia sababu za kurithi zinaweza kupelekea mtu kupata kisonona. ๐Ÿ‘‰ Mambo ya Kisaikolojia: Tabia fulani za kibinafsi, kutokujiamini, historia ya matukio au unyanyasaji, na upungufu wa ujuzi wa kukabiliana na matatizo kunaweza kuwafanya watu kuwa hatarini zaidi. ๐Ÿ‘‰ Sabab...

AUTISM SPECTRUM DISORDER-USONJI

HIZI HAPA NI   DALILI ZA USONJI 1.Tatizo la kuchangamana na jamii ๐Ÿ‘‰Anakuwa na changamoto wakati wa kutengeneza marafiki  ๐Ÿ‘‰Anakuwa na changamoto kwenye kushiriki furaha au mafanikio yake.  ๐Ÿ‘‰ Mtoto anakuwa anajitenga na wengine na kupendelea kukaa pekee yake ·         ๐Ÿ‘‰ kukwepesha macho wakati anapokuwa anaangaliana na wengine au akiangaliwa.  2.Tatizo katika mawasiliano   ๐Ÿ‘‰Kushindwa kuongea ingali umri wa kuongea umefika  ๐Ÿ‘‰Changamoto kwenye kuanzisha na kuhimili au kuendeleza mazungumzo ๐Ÿ‘‰Kurudia maneno unayo mwambia anakuwa hana uwezo wa kujibu zaidi ya kurudia unachomwambia  3. Tabia za kijirudiarudia  ·    ๐Ÿ‘‰ H ii huhusisha mtoto kuwa na tabia za kujiumiza kama vile kujipigiza kwenye vitu,kubamiza vitu kama mlango,kupanda sehemu za juu akitaka kujirusha. ·    ๐Ÿ‘‰  kupenda kutembeatembea, ·    ๐Ÿ‘‰ kufunika masikio kwenye sauti kubwa na wengine kupendelea sauti kubwa ·    ๐Ÿ‘‰ ku...